MRADI WA MAENDELEO YA VIKUNDI VYA KIUCHUMI

Mradi wa Maendeleo ya Biashara ndogondogo unahusisha wafanyabiashara ndogondogo waliojiunga katika vikundi vya kiuchumi kwa lengo la kuchanga ujuzi wao ili wafanye kazi pamoja kwa lengo la kuongeza ufanisi katika kazi zao pamoja na vikundi ambavyo wafanyabiashara ndogondogo hulenga kuhifadhi pesa kwa pamoja, Kukopeshana na Kuongeza mtaji.

UFUPISHO WA TAARIFA MUHIMU ZA MRADI

HUDUMA ZA MRADIAINA YA VIKUNDI LENGWAMAKUNDI YA WALEZI WA VIKUNDI
Kufundishwa Kuhusu Uongozi na Usimamizi wa Vikundi na ukuwaji wa vikundi mpaka kuwa KampuniVikundi vya Wafanyabiashara ndogo ndogo wanaofanya biashara pamojaHalmashauri
Kufundishana Mbinu za Kukuza Biashara na kupanua wigo wa BiasharaVikundi vilivyoanzishwa na Taasisi za Fedha na kuvikopeshaTaasisi za Fedha
Kufundishwa Usimamizi wa Fedha mambo ya mikopo, kuweka na Kusimamia malengoVikundi vilivyoanzishwa na mashirika mbalimbaliMashirika Mabalimbali
Kujumuisha watu wote walio katika vikundi katika kundi la Mtandaoni la Maendeleo ya Vikundi vya Kiuchumi kwa lengo la kubadilishana maarifaVikundi vilivyo anzishwa kutokana na Miradi ya mashirika ya kimataifaWadau wa Mashirika ya Kimataifa
Kukutanisha vikundi, Mamlaka na Wadau mbalimbali kwa njia ya mtandao na mikutano mbali mbaliVikundi Vilivyoanzishwa na Nyumba za Kulelea waraibu pamoja na DCEANyumba za Kulelea Waraibu
Bodi ya Usimamizi wa Malengo, Bajeti na Utawala boraVikundi vya kukopeshana na Viccoba vidogoTaasisi za fedha, BOT, n.k

USAJILI MRADI WA MAENDELEO YA VIKUNDI VYA KIUCHUMI